KILELE CHA MIAKA 53 YA MAPINDUZI ZANZIBAR


  RINGA
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe,Dk.Ali Mohamed Shein akiwa katika Gari Maalum huku akiongozwa na Pikipiki za Polisi, akiwangia mkono wananchi waliohudhuria  katika Kilele cha Sherehe za Maadhimisho ya miaka 53 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar,Sherehe zilizofanyika leo huko Uwanja wa Amaan Mjini Unguja.
RINGA 1
Gwaride la Farasi likimsindikiza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe,Dk.Ali Mohamed Shein alipoingia katika akiwa Uwanja wa Amaan Mjini Unguja leo katika Kilele cha Sherehe za Maadhimisho ya miaka 53 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, Sherehe hizo zilihudhuriwa na Viongozi mbali mbali pamoja na Vyama vya Siasa. 
RINGA 2
 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe,Dk.Ali Mohamed Shein akiwa katika Gari Maalum huku  akiwangia mkono wananchi waliohudhuria  katika Kilele cha Sherehe za Maadhimisho ya miaka 53 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar,Sherehe zilizofanyika leo huko Uwanja wa Amaan Mjini Unguja. 
RINGA 3
 
 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe,Dk.Ali Mohamed Shein (katikati) akifuatana na Lt.Co.Khamis Mohamed Adam  wakati akikagua Gwaride la Vikosi vya Ulinzi na Usalama katika Uwanja wa Amaan Mjini Unguja leo katika sherehe za Kilele cha Maadhimisho ya miaka 53 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanziba. 
RINGA 4
  Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe,Dk.Ali Mohamed Shein (katikati) akifuatana na Lt.Co.Khamis Mohamed Adam  wakati akikagua Gwaride la Vikosi vya Ulinzi na Usalama katika Uwanja wa Amaan Mjini Unguja leo katika sherehe za Kilele cha Maadhimisho ya miaka 53 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanziba. 
RINGA 5
 
 Baadhi ya Watendaji kutoka Idara mbali mbali za Serikali ya Mapinduzi wakiwa katika sherehe za Kilele cha Maadhimisho ya miaka 53 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanziba,zilizofanyika leo katika Uwanja wa Amaan Mjini Unguja. 
RINGA 6
 
Baadhi ya Wanachama cha Mapinduzi CCM waliohudhuria katika  sherehe za Kilele cha Maadhimisho ya miaka 53 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanziba,zilizofanyika leo katika Uwanja wa Amaan Mjini Unguja,wakifuatilia kwa makini taratibu za Sherehe hizo ambazo zilihudhuriwa pia na wanachama wa Vyama vyengine vya Siasa. 
RINGA 7
 
 Rais Mstaafu wa Zanzibar Mhe,Dkt.Amani Abeid Karume akisalimiana na Mkuu wa Mkoa wa Mjini Magharibi Ayoub Mohamed Mahmoud (katikati) alipowasili katika Uwanja wa Amaan Studium Mjini Unguja leo wakati wa Sherehe za Kilele cha Maadhimisho ya Miaka 53 ya Mapinduzi ya Zanzibar(kulia) Mstahiki Meya wa Manispaa ya Mji wa Unguja,Abrahman Khatib. 
RINGA 8
 
 Rais Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Benjamin Willium Mkapa na Mkewe Mama Anna Mkapa (katikati)  walipowasili katika Uwanja wa Amaan Studium Mjini Unguja leo wakati wa Sherehe za Kilele cha Maadhimisho ya Miaka 53 ya Mapinduzi ya Zanzibar  (wa pili kulia) Mkuu wa Mkoa wa Mjini Magharibi Ayoub Mohamed Mahmoud. 
RINGA 9
 
 Mke wa Rais wa Zanzibar Mama Mwanamwema Shein akisalimiana na Waziri Mkuu wa Jamahuri ya Muungano wa Tanzania Mhe,Kassim Majaliwa  Majaliwa alipowasili katika Uwanja wa Amaan Studium katika Sherehe za Kilele cha Maadhimisho ya Miaka 53 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar zilizofanyika leo,[Picha na Ikulu.]12/01/2017
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments :

Post a Comment