
Tundu Lissu amewaambia Waandishi wa habari kwamba Amri ya kuzuia Freeman Mbowe asikamatwe na wala kuwekwa kizuizini na Polisi inaendelea isipokua wanaweza kumuita kwa Mahojiano ambapo pia Mahakama itatoa maamuzi March 2 2017, zaidi unaweza kumtazama Tundu Lissu hapa chini..
Pamoja na hayo, Mwigizaji Wema Sepetu alikuwepo Mahakamani hapo toka asubuhi ambapo ameonekana jioni hii akiwa pembeni ya viongozi wa CHADEMA na baadhi ya Wafuasi wa CHADEMA walionekana kumkaribishwa kwa maneno wakati akiingia kwenye gari, hii video hapa chini itakuonyesha
0 comments :
Post a Comment