KESI inayomkabiri Rais wa shirikisho la soka Tanzania (TFF),Jamal Malinzi,Katibu wake Celestine Mwesigwa na Mtunza Fedha,Nsiande Mwanga imesoma tena leo asubuhi kwenye mahakama ya Kisutu,Dar Es Salaam.
Imeamuliwa kuwa Malinzi pamoja na wenzake warejeshwe tena rumande kwa madai kuwa upelelezi wa kesi yao bado haujakamilika na watarejeshwa tena mahakamani hapo Julai 30 mwaka huu.
Malinzi anakabiriwa na mashitaka 28 ya kughushi nyaraka na kutakatisha fedha wakati Mwesigwa na Mwanga wanakabiriwa na mashitaka matatu kila mmoja.
Malinzi na wenzake walifikishwa kwenye mahakama ya Kisutu kwa mara ya kwanza Juni 29 kabla ya kupandishwa tena kizimbani Julai 3 mwaka huu.
Imeamuliwa kuwa Malinzi pamoja na wenzake warejeshwe tena rumande kwa madai kuwa upelelezi wa kesi yao bado haujakamilika na watarejeshwa tena mahakamani hapo Julai 30 mwaka huu.
Malinzi anakabiriwa na mashitaka 28 ya kughushi nyaraka na kutakatisha fedha wakati Mwesigwa na Mwanga wanakabiriwa na mashitaka matatu kila mmoja.
Malinzi na wenzake walifikishwa kwenye mahakama ya Kisutu kwa mara ya kwanza Juni 29 kabla ya kupandishwa tena kizimbani Julai 3 mwaka huu.
0 comments :
Post a Comment