Benki Kuu(BoT) imetangaza kushusha riba kwa Benki zinazokopa BoT kutoka 12% iliyokuwepo hapo awali hadi 9%.
Kwa mujibu wa taarifa hii ya Naibu Gavana wa Benki Kuu Utawala na Udhibiti wa Ndani, Bi. Julian B. Raphael inataarifu kuwa utekelezwaji wa kiwango hiki kipya unaanza tarehe 7 mwezi huu mpaka hapo yatakapofanyika mapitio mapya.
Kwa mujibu wa taarifa hii ya Naibu Gavana wa Benki Kuu Utawala na Udhibiti wa Ndani, Bi. Julian B. Raphael inataarifu kuwa utekelezwaji wa kiwango hiki kipya unaanza tarehe 7 mwezi huu mpaka hapo yatakapofanyika mapitio mapya.
About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
0 comments :
Post a Comment