Ajibu Kuikosa Mbao Fc



Yanga itaivaa Mbao FC siku ya mwisho wa mwaka 2017, Disemba 31 jijini Mwanza kwenye mchezo wa ligi kuu ya Vodacom mzunguuko wa 12.

Yanga itamkosa mshambuliaji wake fundi wa mpira Ibrahim Ajib ambaye ana kadi tatu za njano.

Ajib alipewa kadi mwenye michezo ya ligi dhidi ya Stand United, Simba na Prisons.

Hata hivyo kurejea kwa Amissi Tambwe kumeondoa hofu juu ya hatma ya safu ya ushambuliaji katika mchezo huo wa ‘kisasi’.

Msimu uliopita Yanga ilipoteza michezo yote miwili iliyocheza kwenye dimba la CCM Kirumba dhidi ya Mbao FC.

Mbao FC ilishinda bao 1-0 kwenye mchezo
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments :

Post a Comment