Miili 13 Yapatikana Ziwa Tanganyika Kutokana Na Ajali

KIGOMA: Hadi sasa jumla ya miili 13 imepatikana katika Ziwa Tanganyika baada ya boti mbili kugongana eneo la Rubengera wilayani Uvinza hapo juzi na watu 22 kuhofiwa kufariki.
Miongoni mwa waliokuwa katika boti hizo, ni waumini wa Makanisa ya PEFA waliokuwa wakielekea kwenye mkutano wa injili eneo la Sunuka.
-
Afisa mfawidhi wa SUMATRA mkoani Kigoma amesema kupatikana kwa miili hiyo ni baada ya kuwatumia waokoaji wa majini na zoezi la kutafuta miili zaidi linaendelea.
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments :

Post a Comment