- Written by Nkupamah blog
Mwanamuziki wa kimataifa wa R&B, Bobby Brown.
GEORGIA, Marekani
MWANAMUZIKI wa kimataifa wa R&B, Bobby Brown hivi karibuni aliwaomba msamaha mashabiki waliohudhuria kwenye tamasha lake huko Atlanta, Georgia baada ya kusahau mashairi ya wimbo aliokuwa anaimba hali iliyosababisha yeye na madensa wake kupishana jukwaani.
MWANAMUZIKI wa kimataifa wa R&B, Bobby Brown hivi karibuni aliwaomba msamaha mashabiki waliohudhuria kwenye tamasha lake huko Atlanta, Georgia baada ya kusahau mashairi ya wimbo aliokuwa anaimba hali iliyosababisha yeye na madensa wake kupishana jukwaani.
Bobby
hakuonekana kabisa mwenye furaha katika tamasha hilo ambalo ni la pili
kufanya tangu Januari alipoanza kumuuguza bintiye, Bobbi Kristina
kitendo kilichosababisha watu wengi kujiongeza kuwa huenda hali mbaya
zaidi aliyonayo bintiye kwa sasa inamvuruga.
“Samahani,
siko katika hali ya kawaida usiku huu ingawa nafahamu wote mnanisikia
vizuri na kucheza nami.Lakini bado ni fahari kuwa hapa,” msanii huyo
aliwaambia wahudhuriaji baada ya kusimamisha muziki katikati ya tamasha
kufuatia tukio hilo.
0 comments :
Post a Comment