DAVIDO AELEZA ANAVYOCHANGANYA NYIMBO ZAKE AKIWA NJE

Mwanamuziki nyota wa Nigeria, Davido.
MWANAMUZIKI nyota wa Nigeria, Davido, amesema ukosefu wa mafuta nchini humo uliotokea miezi ya
Mei na Juni mwaka huu  ambao ulisababisha matatizo makubwa, ulimfanya alazimike kuahirisha kutoa albamu yake mpya hivi karibuni.
Akizungumza na televisheni ya Notjustok, Davido alisema pia kwamba huwa anachanganya lugha za nyimbo zake akiwa nje ya Nigeria, hususan Marekani, ambako hutegemea kupata mashabiki wengi na fursa zaidi za  kupiga shoo nyingi.
Alisema pia mahafali yake ya kumaliza chuo ambayo ilifanyika mwezi Juni pia ulikuwa kipingamizi cha kutoa albamu yake  hiyo mpya.
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments :

Post a Comment