SIMBA 5 WASHINDWA KULIANGUSHA DUME LA NYATI


KATIKA kile ambacho kilionejkana ni kama mchezo wa kuigiza, Simba watano walio na njaa walimzingira nyati dume katika mbuga ya Londolizi iliyo jirani na hifadhi ya Kruger nchini Afrika Kusini.

Nyati huyo licha ya wingi huo wa Simba lakini hakusita wala kuwaogopa Simba hao na kupambana vikali hadi waliposhindwa zoezi lao hilo.

 Simba hao wakijaribu kumwangusha Nyati huyo bila mafanikio.
Vita iliebndelea na mwisho Simba waliondoka bila mafanikio.
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments :

Post a Comment