Monday, November 30, 2015



SHIRIKA
la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF) limeandikisha wakulima wa Korosho
zaidi ya 300 mkoani mtwara kwenye kampeni ijulikanayo kama NSSF Kwanza
ambayo ilifanyika mahususi ili kuwafikia watu ambao wako kwenye sekta
isiyo rasmi.
Kampeni hiyo yenye malengo ya kufikia umma wa Watanzania ambao haujafikiwa na elimu ya Hifadhi ya jamii, Kuwaandikisha kujiunga na NSSF ili kuongeza wigo wa wanachama na pia Kupata mrejesho wa huduma zetu kutoka kwa wanachama wa mfuko.
Kampeni hiyo yenye malengo ya kufikia umma wa Watanzania ambao haujafikiwa na elimu ya Hifadhi ya jamii, Kuwaandikisha kujiunga na NSSF ili kuongeza wigo wa wanachama na pia Kupata mrejesho wa huduma zetu kutoka kwa wanachama wa mfuko.
Imemaliza mkoani Mtwara na itaendelea kwenye mikoa mingine.
NSSF inaendelea kuwasihi Watanzania waendelee kujiunga na NSSF.
0 comments :
Post a Comment