CHRISTIAN BELLA KUANZA MWAKA 2016 KWA STAILI HII


@nkupamah blog



Rais wa Bendi ya Malaika Christian Bella msanii ambaye anafanya poa kwa sasa kwa nyimbo mbalimbali alizofanya mwenyewe na kushirikiana na wasanii wengine kufanya vizuri kwenye vituo mbali mbali vya redio na luninga.
bela+picha
Katika kuelekea mwaka 2016 kila msanii ameufunga mwaka kwa staili yake na kujipanga kuanza mwaka wa 2016 kwa mtindo tofauti, kwa upande wake Christian Bella amejipanga kuufungua mwaka 2016 kwa kuwasaidia vijana wanaoishi mazingira magumu lakini wanavipaji vya kuimba ili waweze kutimiza malengo yao.
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments :

Post a Comment