DAR ES SALAAM
MBUNGE wa Kigoma Mjini na kiongozi wa chama cha ACT-Wazalendo Zitto Kabwe ameijia juu hatua ya Waziri wa Nishati na Madini Professa Muhongo ya kutaka kupunguza bei ya umeme nchini kwa kudai kuwa suala hilo halitawezekana kutokana na uchakavu wa mitambo ya kuzalisha umeme na
tozo ambayo Serikili huilipa kampuni ya IPTL zaidi ya bilioni 8 kwa mwezi
MBUNGE wa Kigoma Mjini na kiongozi wa chama cha ACT-Wazalendo Zitto Kabwe ameijia juu hatua ya Waziri wa Nishati na Madini Professa Muhongo ya kutaka kupunguza bei ya umeme nchini kwa kudai kuwa suala hilo halitawezekana kutokana na uchakavu wa mitambo ya kuzalisha umeme na
tozo ambayo Serikili huilipa kampuni ya IPTL zaidi ya bilioni 8 kwa mwezi
Zitto amesema kuwa jambo la kufanya
kabla ya kutangaza hatua hiyo ni pamoja na kutekeleza agizo la Bunge la
kuitaka kuichukua mitambo ya IPTL ili kuepukana na gharama hizo za kila
mwezi
Bei ya Umeme ishuke? Itashukaje na Gharama za Umeme kuielemea TANESCO? Bei ya Umeme haipangwi kwa kuangalia bei ya…
0 comments :
Post a Comment