JK AWATAKIA WATANZANIA HERI YA SIKUKUU

Nkiupamah media

MSOGA.Pwani.

RAIS mstaafu wa wamu ya nne,Dr Jakaya Kikwete amewapa heri ya krismasi na mwaka mpya watanzania ,ambapo amewataka kusherekea vema siku hizo kubwa kwa amani na utulivu huku wakifikiria namna
ya kurejea katika hali ya kawaida kwa mwakani kwa ajili ya kuendelea kulitumikia taifa lao.
Dr Kikwete amesema kuwa ni vema watanzania wakatafakari katika siku hizi za sikukuu na pindi zitakapoisha warejee katika kuijenga nchi kwa kushirikiana na viongozi wa Serikali
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments :

Post a Comment