ZITTO KABWE AWAJIA JUU WANAOTAKA KURUDIWA KWA UCHAGUZI WA ZANZIBAR

Nkupamah media

DAR ES SALAAM

MBUNGE Kigoma Mjini Zitto Kabwe amewajia juu watu wanaong’ang’ania uchaguzi mkuu wa
Zanzibar urudiwe,ambapo amewataja watu hao kama watu waliotokwa na fahamu
Hii inakuwa ni mara ya tatu kwa Zitto kuwajia juu watu wanaopingana na matokeo halisi ya uchaguzi mkuu wa Zanzibar ambapo mara kadhaa amekuwa akiwawakia watu wa namna hiyo.
Kurudiwa Uchaguzi Zanzibar? Kuna watu wamejitoa fahamu wanataka uchaguzi wa Rais na Wawakilishi urudiwe. CUF ilishinda…
Posted by Zitto Kabwe on 24 Disemba 2015

Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments :

Post a Comment