@nkupamah blog
Mbunge
wa jimbo Ubungo kupitia Chadema, Saed Kubenea amepandishwa kizimbani
kortini Kisutu, jijini Dar es Salaam leo na kusomewa shtaka la kutoa
lugha chafu dhidi ya Mkuu wa wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda.
Hata hivyo, Kubenea amekana kufanya kitendo hicho na kesi yake kuahirishwa hadi Desema 29, mwaka huu huku uchunguzi ukiendelea.
0 comments :
Post a Comment