Waziri wa Nchi ofisi ya Makamu wa
Rais Muungano na Mazingira Mh .January Makamba akisisitiza jambo kwa
Balozi wa Uturuki Ms.Yasemin Eralp,alipomtembelea Ofisini kwake Mapema
hii leo kwa ajili ya utambulisho pamoja na kujadili mambo Mengine
yanayohusu
Mahusiano kati ya Tanzania na Uturuki.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu
wa Rais Muungano na Mazingira Mh. January Makamba wa kwanza kushoto
akielezea jambo kwa Balozi wa Uturuki Ms.Yasemin Eralp wa pili kutoka
kushoto mapema hii leo alipomtembelea ofisini kwake, wengine ni Bw.
Berat Colak aliyeambatana na balozi na anayefuatia Dr. Julius Ningu
Mkurugenzi wa Mazingira kutoka Ofisi ya Makamu wa Rais.
Waziri wa Nchi ofisi ya Makamu wa
Rais Muungano na Mazingira Mh. January Makamba akifafanua jambo kwa
Balozi wa Uturuki Ms.Yasemin Eralp alipomtembelea ofisini kwake kwaajiri
ya utambulisho na kumpongeza kwa kuteuliwa kwa nafasi ya Uwaziri mapema
hii leo.


0 comments :
Post a Comment