Wabunge Wa CCM Wakutana Dodoma

Wabunge wa CCM wakimsikiliza Mbunge wa Kibakwi Mhe. Boniface Simbachawene wakati akifafanua mambo mbali mbali kwenye ukumbi wa NEC, Makao Makuu ya CCM mjini Dodoma.
Mbunge wa Jimbo la Isimani Mhe. William Lukuvi akichangia hoja kwenye semina ya wabunge wa CCM.
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana (katikati) ambaye ndie mwenyekiti wa kikao maalum chenye kutoa semina elekezi kwa wabunge wa CCM, kulia ni Makamu Mwenyekiti wa CCM (Bara) Mhe. Philip Mangula na Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye (kushoto).
Mbunge wa jimbo la Iramba Magharibi Mhe. Mwigulu Nchemba akifuatilia kwa makini hoja mbali mbali zilizotolewa na wabunge wa CCM kwenye semina maalum elekezi kwa ajili ya wabunge wa CCM mjini Dodoma.
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments :

Post a Comment