SERIKALI YATAKA KUWEPO KWA MIKATABA KATI YA MAKAMPUNI YA UTENGENEZAJI NA USAMBAZAJI WA FILAMU TANZANIA

Katibu Mtendaji wa Bodi ya Filamu Tanzania Bi Joyce Fissoo akizungumza na wawakilishi wa kamouni ya usambazaji wa filamu Proin promotion(hawapo pichani) kuhusu mkataba kati ya kampuni hiyo na watengenezaji wa filamu Tanzania kushoto ni Rais wa shirikisho la Filamu Tanzania Simon Mwakifwamba.
MWAK2
Mwakilishi wa kampuni ya Proin promotion Abraham Kesulie akizungumza wakati wa kikao kati ya kampuni hiyo na Bodi ya Filamu Tanzania kuhus mkataba kati ya watengenezaji wa filamu na kampuni hiyo katikati ni Mumbe wa Bodi ya Filamu Hussein Kim na kulia ni Kaimu Mkuu wa Kitengo cha Sheria Wizara ya Habari,Utamaduni,Sanaa na Michezo Patrick Kipangula.
MWAK3
Mwakilishi wa kampuni ya Proin promotion Abraham Kesulie(Kushoto), hiyo katikati ni Mumbe wa Bodi ya Filamu Hussein Kim na kulia ni Kaimu Mkuu wa Kitengo cha Sheria Wizara ya Habari,Utamaduni,Sanaa na Michezo Patrick Kipangula wakimsikiliza  Katibu Mtendaji wa Bodi ya Filamu Tanzania Bi Joyce Fissoo9Hayupo Pichani)  wakati wa kikao kati ya kampuni hiyo na Bodi ya Filamu Tanzania kuhusu mkataba kati ya watengenezaji wa filamu na kampuni.
Picha zote na Shamimu Nyaki WHUSM
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments :

Post a Comment