Ulikuwa unafuatilia majaribio ya mtanzania Farid Hispania? C.E.O wa Azam FC ana taarifa hii


Baada ya kurejea kwa Farid Musa kutokea Hispania alipokuwa anafanya majaribio katika klabu ya Deportive Tenerife ya Ligi daraja la kwanza Hispania (Segunda), kila mtanzania anatamani kujua nini kinaendelea kwa staa huyo wa Azam FC na Taifa Stars.

Mwanzoni taarifa zilisikika kuwa kafaulu majaribio lakini mazungumzo kati ya Azam FC na Tenerife hayajafikiwa C.E.O wa Azam FC Saad Kawemba katoa taarifa rasmi

“Ni kweli Farid amefuzu na kuna makubaliano tunafikia kwa ajili ya maslahi ya mchezaji, kwanza wanapaswa wampe muda sio akishindwa kufanya vizuri mechi moja wamuache hapana wanapaswa wampe muda”
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment