Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli, amemteua
Mhandisi James Mitayakingi Kilaba kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya
Mawasiliano Tanzania (TCRA).
Taarifa iliyotolewa leo na Katibu Mkuu Kiongozi Balozi John Kijazi imeeleza kuwa uteuzi wa Mhandisi James Mitayakingi Kilaba umeanza jana Jumamosi tarehe 08 Oktoba, 2016.
Kabla ya uteuzi huo, Mhandisi James Mitayakingi Kilaba alikuwa akikaimu nafasi hiyo, baada ya uteuzi wa aliyekuwa Mkurugenzi Mkuu wa TCRA Dkt. Ally Yahaya Simba kutenguliwa.
Gerson Msigwa
Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais, IKULU
Dar es Salaam
09 Oktoba, 2016
Taarifa iliyotolewa leo na Katibu Mkuu Kiongozi Balozi John Kijazi imeeleza kuwa uteuzi wa Mhandisi James Mitayakingi Kilaba umeanza jana Jumamosi tarehe 08 Oktoba, 2016.
Kabla ya uteuzi huo, Mhandisi James Mitayakingi Kilaba alikuwa akikaimu nafasi hiyo, baada ya uteuzi wa aliyekuwa Mkurugenzi Mkuu wa TCRA Dkt. Ally Yahaya Simba kutenguliwa.
Gerson Msigwa
Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais, IKULU
Dar es Salaam
09 Oktoba, 2016
TYSON FURY ASEMA
ANATUMIA “PODA” ILI KUJILIWAZA NA “USAKARA”
A+
A-
Print
Email
BINGWA wa ndondi katika uzani mzito duniani, Tyson Fury amesema amekuwa
akitumia cocaine ili kumsaidia kukabiliana na matatizo ya kiakili.
Bondia huyo wa Uingereza amesema kuwa amekuwa akiugua ugonjwa wa akili
kwa miaka kadhaa na hajafanya mazoezi tangu mwezi Mei.
“Nimekuwa nje nikilewa, Jumatatu hadi Ijumaa na Jumapili na kutumia
cocaine,” Fury aliliambia jarida la Rolling Stones.
Hatua hiyo inajiri siku mbili baada ya Fury kudai katika mitandao ya
kijamii kwamba amejiuzulu, kabla ya kukutana na madai hayo saa tatu
baadae akisema alikuwa akifanya utani.
Akizungumzia kuhusu masuala ya afya yake, Fury aliongezea: “Siwezi
kukabiliana na matatizo hayo na kitu kinachonisaidia ni wakati
ninapokunywa ili nitoe matatizo hayo akilini.
Wanasema nina ugonjwa wa akili. Nahisi huzuni na ningependa mtu aniue
kabla sijajiua
Soma zaidi hapa >>: http://www.saluti5.com/2016/10/tyson-fury-asema-anatumia-poda-ili.html#more
Copyright © saluti5
Soma zaidi hapa >>: http://www.saluti5.com/2016/10/tyson-fury-asema-anatumia-poda-ili.html#more
Copyright © saluti5
TYSON FURY ASEMA
ANATUMIA “PODA” ILI KUJILIWAZA NA “USAKARA”
A+
A-
Print
Email
BINGWA wa ndondi katika uzani mzito duniani, Tyson Fury amesema amekuwa
akitumia cocaine ili kumsaidia kukabiliana na matatizo ya kiakili.
Bondia huyo wa Uingereza amesema kuwa amekuwa akiugua ugonjwa wa akili
kwa miaka kadhaa na hajafanya mazoezi tangu mwezi Mei.
“Nimekuwa nje nikilewa, Jumatatu hadi Ijumaa na Jumapili na kutumia
cocaine,” Fury aliliambia jarida la Rolling Stones.
Hatua hiyo inajiri siku mbili baada ya Fury kudai katika mitandao ya
kijamii kwamba amejiuzulu, kabla ya kukutana na madai hayo saa tatu
baadae akisema alikuwa akifanya utani.
Akizungumzia kuhusu masuala ya afya yake, Fury aliongezea: “Siwezi
kukabiliana na matatizo hayo na kitu kinachonisaidia ni wakati
ninapokunywa ili nitoe matatizo hayo akilini.
Wanasema nina ugonjwa wa akili. Nahisi huzuni na ningependa mtu aniue
kabla sijajiua
Soma zaidi hapa >>: http://www.saluti5.com/2016/10/tyson-fury-asema-anatumia-poda-ili.html#more
Copyright © saluti5
Soma zaidi hapa >>: http://www.saluti5.com/2016/10/tyson-fury-asema-anatumia-poda-ili.html#more
Copyright © saluti5
TYSON FURY ASEMA
ANATUMIA “PODA” ILI KUJILIWAZA NA “USAKARA”
A+
A-
Print
Email
BINGWA wa ndondi katika uzani mzito duniani, Tyson Fury amesema amekuwa
akitumia cocaine ili kumsaidia kukabiliana na matatizo ya kiakili.
Bondia huyo wa Uingereza amesema kuwa amekuwa akiugua ugonjwa wa akili
kwa miaka kadhaa na hajafanya mazoezi tangu mwezi Mei.
“Nimekuwa nje nikilewa, Jumatatu hadi Ijumaa na Jumapili na kutumia
cocaine,” Fury aliliambia jarida la Rolling Stones.
Hatua hiyo inajiri siku mbili baada ya Fury kudai katika mitandao ya
kijamii kwamba amejiuzulu, kabla ya kukutana na madai hayo saa tatu
baadae akisema alikuwa akifanya utani.
Akizungumzia kuhusu masuala ya afya yake, Fury aliongezea: “Siwezi
kukabiliana na matatizo hayo na kitu kinachonisaidia ni wakati
ninapokunywa ili nitoe matatizo hayo akilini.
Wanasema nina ugonjwa wa akili. Nahisi huzuni na ningependa mtu aniue
kabla sijajiua.”
Soma zaidi hapa >>: http://www.saluti5.com/2016/10/tyson-fury-asema-anatumia-poda-ili.html#more
Copyright © saluti5
Soma zaidi hapa >>: http://www.saluti5.com/2016/10/tyson-fury-asema-anatumia-poda-ili.html#more
Copyright © saluti5



0 comments :
Post a Comment