Kwa sasa Bodi inaendelea na hatua za
awali za upangaji wa mikopo ambapo taarifa za wanafunzi watakaopangiwa
mikopo zitatolewa kwenye tovuti ya Bodi www.heslb.go.tz siku chache zijazo.
NB: Bodi inawakumbusha waombaji mikopo wote kuwa makini na watu wasio waaminifu wanaoweza kutumia fursa hii kujipatia fedha isivyo halali.
Imetolewa na:
Kitengo cha Habari, Elimu na Mawasiliano,
BODI YA MIKOPO YA WANAFUNZI WA ELIMU YA JUU
Kitengo cha Habari, Elimu na Mawasiliano,
BODI YA MIKOPO YA WANAFUNZI WA ELIMU YA JUU



0 comments :
Post a Comment