Na Masanja Mabula –Pemba
SEREKALI Ya Mapindunzi Ya Zanzibar Imesema Hakuna Upendeleo Katika Kutoa Nafasi Za Ajira Za Idara Za Serekali Ya Jamuhuri Ya Muungano Ikiwemo Jeshi La Wananchi Na Polisi Bali Zinatolewa Kulingana Na Sifa Ya Muombaji .
SEREKALI Ya Mapindunzi Ya Zanzibar Imesema Hakuna Upendeleo Katika Kutoa Nafasi Za Ajira Za Idara Za Serekali Ya Jamuhuri Ya Muungano Ikiwemo Jeshi La Wananchi Na Polisi Bali Zinatolewa Kulingana Na Sifa Ya Muombaji .
Waziri
Wa Nchi Ofisi Ya Makamo Wa Pili Wa Zanzibar Mh Mohammed Aboud Mnohammed
Ameyasema Hayo Jana Alipokuwa Akijibu Suali Aliloulizwa Na Waandishi Wa
Habari Kwenye Mkutano Wake Na Vyombo Vya Habari Uliofanyika Chake
Chake Kisiwani Pemba.
Katika
Suali Lake Mwandishi Wa Habari Sleiman Rashid Omar Alitaka Kujua
Serekali Inachukua Hatua Gani Kuuondoa Upendeleo Katika Kutoa Ajira Kwa
Idara Za Muungano Ambazo Wananchi Kisiwani Hapa Kwamba Nafasi
Zinazoletwa Pemba Zinaporwa Na Kupewa Vijana Wanaotoka Unguja.
Waziri
Aboud Alisema Serekali Ya Jamuhuri Ya Muungano Imekua Ikitoa Nafasi Za
Ajira Katika Idara Zake Kwa Mikoa Yote Ya Zanzibar Ya Ulinzi Na Usalama
Ya Kila Mkoa Kufikisha Majina Ya Vijana Ambaoni Wakaazi Wa Mkoa Huona
Sio Vyenginevyo.
Alifahamisha
Kwamba Ajira Zinazotangazwa Ni Chache Na Wanaojitokeza Kuomba Ni Wengi
Hivyo Kunakuwako Na Uchambuzi Wa Kina Katika Kufanya Maamuzi Ya Kuchagua
Vijana Wa Kujiunga Na Idara Hizo Kwa Kufikia Vielelezo Vya Kila Mmoja.
“Hakuna
Upendeleo Nafasi Hutangazwa Na Wenye Sifa Huomba Lakini Ikumbukwe
Kwamba Nafasi Ni Chache Na Wanaojitokeza Kuomba Ni Wengi Hivyo Kamati
Hufanyakazi Ya Ziada Kufikia Kielelezo Kabla Ya Kufanya Uteuzi Sioni
Kwamba Kuna Upendeleo”Alifahamisha.
Aidhawaziri
Aboud Alikiri Kuwepo Na Idadi Kubwa Ya Vijana Wasio Kuwa Na Ajira
Ungujana Pemba Na Kufahamisha Kwamba Serekali Imeanza Kuchukua Hatua Za
Maksudi Kuitafutia Ufumbuzi Changamoto Hiyo.
Alieleza
Kuwa Miongoni Mwa Mikakati Hiyo Iliyoandaliwa Na Serekalina Ambayo
Imeanza Kutekelezwa Ni Kuahamasisha Wawekezaji Kuekeza Katika Sekta Ya
Kilimo ,Uvuvi Na Utalii Ili Vijana Waweze Kupata Ajira Na Kupunguza
Ukali Wa Maisha Katika Familia Zao.
Aliongeza
Kuwa Kupitishwa Kwa Sheria Mpya Ya Mafuta Na Gesi Itafungua Milango Kwa
Wawekezaji Kuwekeza Mitaji Yao Na Hivyo Kutoa Fursa Kwa Vijana Kupata
Ajira Pamoja Na Kupatikana Soko La Bidhaa La Wajasiriamali Wadogo
Wadogo.
“Kupitishwa
Kwa Sheria Mpya Ya Mafuta Na Gesi Kutafungua Milango Ya Uwekezaji
Pamoja Na Kuzalisha Ajira Kwa Vijana Na Kutanuka Soko La Bidhaa Za
Wajasiriamali Wadogo Wadogo Na Wakati “Alieleza.
Hivyo
Alisisitiza Kuwa Serekali Imepanga Kuziendeleza Fursa Ambazo Bado
Hazijatumika Kwa Maslahi Ya Taifa Kwa Kuziboresha Ili Zilete Tija Kwa
Umma Na Taifa Kwa Ujumla.


0 comments :
Post a Comment