Yanga yaikalisha Mtibwa, yaifungaa 3-1 katika Uwanja wa Uhuru, Dar

Us

Kama ulidhani Yanga kupoteza mchezo wa Stand United na kutoa sare na Simba kunaonyesha dalili za Yanga kushuka kiwango, bado yawezekana ukawa unakosea kwa kile ambacho wanajangwani hao wameifanyia Mtibwa katika mchezo wa VPL uliopigwa dimba la Uhuru.
Mchezo huo umemalizika kwa Yanga kuibuka na ushini wa goli 3-1, magoli ya Yanga yamefungwa na Obrey Chirwa dk. 44, Simon Msuva dk. 68 na Donald Ngima katika dakika ya 80 huku goli pekee la Mtibwa likifungwa na Haruna Chanongo dk. 63.
Ushindi ambao wameupata Yanga umewawezesha kufikisha alama 14 na kushika nafasi ya tatu huku ikiwa na michezo miwili ambayo bado haijacheza.
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments :

Post a Comment