Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akijibu maswali ya papo kwa papo, bungeni mjini Dodoma Februari 2, 2017.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa
akimsikiliza Kiongozi wa Upinzani Bungeni, Freeman Mbowe wakati
alipouliza swali katika kipindi cha maswali kwa Waziri Mkuu, Bungeni
mjini Dodoma Februari 2, 2017.
(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
0 comments :
Post a Comment