Video Walichokiongea Mkapa, Makinda,Warioba kongamano La Mwalimu Nyerere Leo



Rais wa Mstaafu wa Awamu ya Tatu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Benjamin William Mkapa alikuwa mmoja waliowasilisha mada kwenye Kongamano Maalumu la Maadhimisho ya kumbukizi ya Mwalimu Nyerere.
Katika Komngamano hilo lililofanyika Chuo cha Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere, Dar es Salaam, walikuwepo pia viongozi mbalimbali wastaafu wakiwemo Spika Mstaafu wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, mama Anna Makinda na Waziri Mkuu Mstaafu, Joseph Warioba.
Bonyeza play kutazama…
Part I

Part II

Part III

Part IV


Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments :

Post a Comment