Video:Alivyofunguka Zaidi Nape


Kupitia habari ya Azam Two ya April 20 2017 aliyekuwa waziri wa Habari ambaye pia ni mbunge wa jimbo la Mtama Nape Nnauye amekiri kuwa kuondolewa kwake kwenye nafasi ya uwaziri kuna maswala mengine na hakuna atakaye thubutu kuyaongelea yote yaliyasababisha kutokea kwa jambo hilo.
Nape amezungumza na mwandishi wa habari wa Azam two na kusema kuondolewa kwake katika wadhifa huo kulishatabiliwa kutokana na maswala aliyokuwa akiyasimamia na misingi ambayo anayoiamini na hivyo asingependa kwenda kinyume kwa hicho anachokiamini na hakushtushwa na maaamuzi yaliyochukuliwa na mteule wake.
Bonyeza Play hapa chini kutazama, nimekuwekea Full video….


Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments :

Post a Comment