TRA YAKUSANYA BILIONI 11 ZA WAKWEPA KODI

@nkupamah blog


Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), imekusanya jumla ya Sh. bilioni 11.1 hadi kufikia jana ikiwa ni kodi ambazo wafanyabiashara wamelipa baada ya kubainika kukwepa kulipa ushuru wa makontena 329 yaliyoondoshwa bandarini bila kulipiwa.
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments :

Post a Comment