Hata Diamond Aliimba Nidanganye- Zitto Kabwe



Mbunge wa Kigoma mjini Zitto Kabwe alisimama Bungeni kuzungumzia mpango wa serikali kujenga reli ya kati ambayo tayari ujenzi wa reli hiyo kati ya Dar es salaam hadi Morogoro imeanza ambapo Zitto amekosoa hatua hiyo kwakusema serikali ilitakiwa kuangalia vipaumbele vya maeneo ambayo shughuli za reli hiyo yatasaidia nchi kujipatia kipato kikubwa zaidi.


Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments :

Post a Comment