
Mwimbaji wa WCB Harmonize amehojiwa na kuongea ukweli kwa mara ya kwanza toka zimeanza kusambaa stori za kuachana kwake na Mrembo wa Bongo movie Jackline Wolper.
Kwenye LEO TENA ya CloudsFM Harmo amekiri yafuatayo >>> ”Siko kwenye mahusiano kwa sasa na ni kweli nimeachana na Wolper na kusema ukweli nilikuwa na mipango mingi na Wolper mpaka nyumbani nikampeleka” -Harmonize
Bonyeza play hapa chini kumsikiliza akiyaongea yote.
About Unknown
This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
0 comments :
Post a Comment