Video Hamornizer Afunguka Kuhusu Wolper

Mwimbaji wa WCB Harmonize amehojiwa na kuongea ukweli kwa mara ya kwanza toka zimeanza kusambaa stori za kuachana kwake na Mrembo wa Bongo movie Jackline Wolper.
Kwenye LEO TENA ya CloudsFM Harmo amekiri yafuatayo >>> ”Siko kwenye mahusiano kwa sasa na ni kweli nimeachana na Wolper na kusema ukweli nilikuwa na mipango mingi na Wolper mpaka nyumbani nikampeleka” -Harmonize 
Bonyeza play hapa chini kumsikiliza akiyaongea yote.

Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments :

Post a Comment