Mstahiki
 Meya wa Manispaa ya Moshi ,Jafary Michael akizungumza katika mkutano wa
 hadhara uliofanyika katika viwanja vya Railway mjini Moshi . 
 | 
Mwenyekiti
 wa Chadema taifa,Freman Mbowe akiwa na Mwenyekiti wa Chadema mkoa wa 
Kilimanjaro na Mbunge wa jimbo la Moshi mjini ,Philemon Ndesamburo 
walipokutana wakati wa mkutano wa hadhara uliofanyika katika viwanja vya
 Railway mjini Moshi,wengine ni Mwenyekiti wa BAWACHA mkoa wa 
Kilimanjaro ,Helga Mchomu . 
 | 
Msatahiki Meya wa manispaa ya Moshi Jafary Michael akizungumza katika mkuta huo. 
 | 
Mbunge wa Jimbo la Moshi mjini Philemon Ndesamburo akizungumza katika mkutano wa hadhara uliofanyika katika viwanja vya Railway. 
 | 







0 comments :
Post a Comment