Maalim Seif awasili nchini akitokea Italy


Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, alipowasili uwanja wa ndege wa Zanzibar akitokea Italy tarehe 15/07/2015 
Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad,akisalimiana na viongozi wa serikali wakati alipowasili uwanja wa ndege wa Zanzibar akitokea Italy
Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad,akisalimiana na viongozi wa serikali wakati alipowasili uwanja wa ndege wa Zanzibar akitokea Italy
Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, akizungumza na wanahabari (hawapo pichani) kuhusu ziara yake Italy kwa ajili ya maonyesho ya biashara yaliyofanyika nchini humo
Picha na Salmin Said , OMKR
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments :

Post a Comment