Tumrudishe Msigwa tena bungeni-Iringa mjini

Huu ni msemo ambao umetawala midomoni kwa WANAIRINGA wote wenye mapenzi mema na mkoa wetu wa IRINGA.

Huu ni msemo ambao unaleta hamasa kubwa ya kumtambulisha tena MH.MCHUNGAJI MSINGWA ambaye alikuwa mbunge wetu wa Iringa mjini!!

Ama hakika huyu ndiye Mbunge pekee ambaye wana Iringa tunaweza kujisifia,kwani alikuwa kipaumbele kuwatetea wana Iringa wote nje na ndani ya mbunge,tofauti na wabunge waliopita kama wakina Monika Ngezi Mbega,ambao hawakuweza kusimama na kuwatetea wana Iringa ndani na nje ya mbunge!!

Ni mbunge mwadilifu ambaye pia akisimama bungeni lazima bunge litikisike kwa kile atakaho kisema,wenyewe ni mashahidi kwani wote tunafahamu ni kwa namna gani hotuba zake bungeni zilikuwa zina tija gani juu ya maendeleo ya Iringa na nchi kwa ujumla!!

Ni moja ya wabunge machahali walioweza kuonyesha makali yao ndani na nje ya bunge kwa muda mfupi tuu!!

Hivyo wanaIringa wenzangu tusifanye makosa tumchague Msigwa tena kwa maendeleo ya mkoa wetu na nchi kwa ujumla!!

People's power!! MSIGWA TENA!!!
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments :

Post a Comment