Baadhi wa wakazi wa Dar es Salaam
waliokutwa na mpiga picha wetu wakimeza vidonge vya
kuzuia minyoo,
matende na mabusha kwenye kituo cha kusubiri abiri wa Kivuko cha
Kigamboni jijini Dar es Salaam.Aliyekaa chini na aliyesimama (aliyeshika
kipima urefu) ni watumishi wa Wizara ya Afya, Mandeleo ya Jamii, Jinsia
Wazee na Watoto wakigawa dawa hizo baada ya kumpima mwananchi urefu.
Picha zote na Hussein Makame-MAELEZO
………………………………………………………………………………………….
Kampeni ya Ugawaji wa Dawa za
kujikinga na magonjwa ya minyoo, matende na mabusha inaanza jijini Dar
es Salaam mwezi huu na inatarajiwa kuendelea katika mikoa ya Katavi,
Rukwa, Lindi, Mtwara, Singida, Dodoma na Pwani.
Mikoa iliyobakia itafanya kampeni
hiyo itafanyika kwa awamu kati ya Januari na Februari mwaka huu.Kwa
mujibu wa Wizara ya Afya, Mandeleo ya Jamii, Jinsia Wazee na Watoto,
dawa zinazotolewa ambazo ni Albendazolena Ivermectin hazina madhara
yoyote kiafya.
0 comments :
Post a Comment