@nkupamah blog
On December, 2,2015

Picha ya Pamoja Madiwani wote wa Halmashauri ya manispaa ya Iringa Katika ubora wao mara baada ya kuapishwa leo katika ukumbi wa manispaa ya Iringa.Picha na @nkupamah blog

Mheshimiwa kimata diwani wa kata ya kitwiru (Kushoto) na Mheshimiwa Tandesy diwani wa kata ya Ruaha (kulia ) wakiwa katika picha ya pamoja mara baada kuapishwa katika ukumbi wa Halmashauri ya
.
Na mwandishi @nkupamah blog
Hatimaye uchaguzi wa mayor halmashauri ya iringa mjini umekamilika kwa amani kabisa
Idadi ya Kura kwa kila mgombea.
Meya
Kura halali:27
Kura zilizo haribika:0
CCM: Bashri Richard Mtove kura 6
CHADEMA: Kimbe Alex Bonifasi kura 21
Hivyo bwana kimbe katangazwa kuwa meya
Naibu Meya
Kura halali:27
Kura zilizo haribika:0
CCM: Dora Menard Nziku kura: 6
CHADEMA: Joseph Lyata Nzara kura: 21
Hivyo bwana Joseph katangazwa kuwa Naibu Meya
Akizungumza na @nkupamah blog mara baada ya kuapishwa leo, mh Baraka kimata diwani wa kata ya Kitwilu amesema, anawashukuru sana wananchi wa kata yake na Mungu kwakumuamini na kumpa heshima yakua diwani wao.
,hana cha kuwalipa bali anawaahidi utumishi uliotukuka katika kipindi chote cha uongozi wake na kuwaletea maendeleo endelevu wananchi wa kata yake na manispaa nzima kwa ujumla kwani anazijua changamoto zote zinazowakabili wananchi wa Iringa mjini hivyo atashirikiana na madiwani wenzie wote kuziondoa changamoto hizo.
@nkupamah blog
On December, 2,2015

Picha ya Pamoja Madiwani wote wa Halmashauri ya manispaa ya Iringa Katika ubora wao mara baada ya kuapishwa leo katika ukumbi wa manispaa ya Iringa.Picha na @nkupamah blog

Mheshimiwa kimata diwani wa kata ya kitwiru (Kushoto) na Mheshimiwa Tandesy diwani wa kata ya Ruaha (kulia ) wakiwa katika picha ya pamoja mara baada kuapishwa katika ukumbi wa Halmashauri ya
.
Na mwandishi @nkupamah blog
Hatimaye uchaguzi wa mayor halmashauri ya iringa mjini umekamilika kwa amani kabisa
Idadi ya Kura kwa kila mgombea.
Meya
Kura halali:27
Kura zilizo haribika:0
CCM: Bashri Richard Mtove kura 6
CHADEMA: Kimbe Alex Bonifasi kura 21
Hivyo bwana kimbe katangazwa kuwa meya
Naibu Meya
Kura halali:27
Kura zilizo haribika:0
CCM: Dora Menard Nziku kura: 6
CHADEMA: Joseph Lyata Nzara kura: 21
Hivyo bwana Joseph katangazwa kuwa Naibu Meya
Akizungumza na @nkupamah blog mara baada ya kuapishwa leo, mh Baraka kimata diwani wa kata ya Kitwilu amesema, anawashukuru sana wananchi wa kata yake na Mungu kwakumuamini na kumpa heshima yakua diwani wao.
,hana cha kuwalipa bali anawaahidi utumishi uliotukuka katika kipindi chote cha uongozi wake na kuwaletea maendeleo endelevu wananchi wa kata yake na manispaa nzima kwa ujumla kwani anazijua changamoto zote zinazowakabili wananchi wa Iringa mjini hivyo atashirikiana na madiwani wenzie wote kuziondoa changamoto hizo.
@nkupamah blog


0 comments :
Post a Comment