MICHEZO:ALICHOKISEMA JOHN TERRY BAADA YA MOURINHO KUBEBA VIRAGO CHELSEA

@nkupamah blog
 

ENGLAND


Saa chache baada ya klabu ya Chelsea kumfuta kazi aliyekuwa kocha wake Mreno Jose Mourinho kwa kile kilichodaiwa na bodi ya klabu hiyo ni kutokuwa na imani na kocha huyo ambaye ni miezi saba tu iliyopita aliwapa taji la ubingwa wa ligi kuu na kombe la FA.

Kwa masikitiko makubwa kupitia ukurasa wake wa instagram, nahodha wa wa klabu ya Chelsea John Terry ameandika ujumbe mzito katika lugha ya kiingereza ikiwa ni ishara ya kukubali kila alichokifanya wakati akiwa chelsea

“Thank You doesn’t seem enough
Sad sad day
Gonna miss you Boss
The Very Best I have EVER worked with, unbelievable memories together”

Kwa tafsiri isiyo rasmi

“Neno asante halionekani kutosha, siku ya leo ni ya huzuni, nitakukumbuka saana bosi wangu, wewe ni mtu wa pekee miongoni mwa watu niliowahi kufanya nao kazi daima”TERRY

Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments :

Post a Comment