Msanii mkongwe kwenye tasnia ya Muziki
nchini Hamisi Mwinjuma Hit Maker wa Asanteni kwa kuja ngoma yake mpya
ambayo ameiachia hivi karibuni kutoka kwenye mikono salama ya Hermy B na
kupokelewa vyema na mashabiki kinyume na matarajio yake.
Mwana FA ameendelea kusema kuwa miongoni
mwa watu hao wengine amewasaidia lakini hawakuweza kuuthamini msaada
wake na kumtendea mabaya hivyo anawaambia anashukuru kuwafahamu na
kuwaambia Asanteni kwa kuja huku akimtaka kila moja kuchukua hamsini
zake(kufanya mambo yanayo muhusu) na kuacha maisha yaendelee.


0 comments :
Post a Comment