Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na
maendeleo ya Makazi Mh. Angelina Mabula akiwasili Makao Makuu ya Shirika
la Nyumba la Taifa NHC Upanga jijini Dar es salaam huku akilakiwa na
Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika hilo Ndugu Nehemia Mchechu wakati waziri
huyo akiwa katika ziara yake ya kujifunza na kusikiliza Changamoto na
mafanikio mbalimbali yaliyofikiwa na shirika hilo.
Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na
maendeleo ya Makazi Mh. Angelina Mabula akiuliza jambo kwa mkurugenzi
Mtendaji wa Shirika la Nyumba Bw. Nehemia Mchechu wakati alipofanya
ziara
ya kutembelea na kukagua shughuli zinazofanywa na shirika hilo.
Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na
maendeleo ya Makazi Mh. Angelina Mabula akisaini kitabu cha
wageni ofisini kwa Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Nyumba Bw. Nehemia
Mchechu wakati alipofanya ziara ya kutembelea na kukagua shughuli
zinazofanywa na shirika hilo.
Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na
maendeleo ya Makazi Mh. Angelina Mabula akiwa katika kikao na wakuu wa
vitengo mbalimbali wakati alipofanya ziara ya kutembelea na kukagua
shughuli zinazofanywa na shirika hilo.
Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na
maendeleo ya Makazi Mh. Angelina Mabula akizungumza na waandishi wa
habari katika ukumbi wa mikutano makao makuu ya NHC , kulia
ni Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Nyumba Bw. Nehemia Mchechu .
Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na
maendeleo ya Makazi Mh. Angelina Mabula akifafanua jambo kwa waandishi
wa habari katika ukumbi wa mikutano makao makuu ya NHC Upanga.
Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na
maendeleo ya Makazi Mh. Angelina Mabula akifafanua jambo kwa waandishi
wa habari hawapo pichani katika ukumbi wa mikutano makao makuu ya NHC
Upanga.
Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika
la Nyumba Bw. Nehemia Mchechu akijibu baadhi ya maswali yalioulizwa na
waandishi wa habari wakati Naibu Waziri Angelina Mabula alipokuwa
akizungumza na waandishi wa habari mara baada ya kutembelea shirika hilo
leo.
Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika
la Nyumba Bw. Nehemia Mchechu akijadiliana jambo na Muungano Saguya
katikati na kulia ni Yahya Charahani Maafisa kutoka shirika hilo la NHC.
0 comments :
Post a Comment