UJUMBE WA SHIRIKA LA NYUMBA UGANDA WAFANYA ZIARA YA MAFUNZO NHC TANZANIA

 
  Ujumbe wa Shirika la Nyumba la Taifa la Uganda (NHCC) ukiongozwa na Afisa Mtendaji Mkuu wa Shirika hilo, Parity Twinomujuni (aliyeketi mbele ya logo ya NHC) ukijadiliana masuala mbalimbali yanayohusu sekta ya nyumba nchini na Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa la Tanzania, Nehemia Kyando Mchechu. Ujumbe huo umekuwapo katika ziara ya siku mbili ya mafunzo nchini kujifunza namna utendaji wa Shirika la Tanzania unavyofanyika ili waweze kupata njia za kuweza kuboresha Shirika zaidi Shirika la NHCC Uganda.
  Ujumbe wa Shirika la Nyumba la Taifa la Uganda (NHCC) ukiongozwa na Afisa Mtendaji Mkuu Parity Twinomujuni (aliyeketi mbele ya logo ya NHC) ukijadiliana masuala mbalimbali yanayohusu sekta ya nyumba nchini na Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa la Tanzania, Nehemia Kyando Mchechu. Ujumbe huo umekuwapo katika ziara ya siku mbili ya mafunzo nchini kujifunza namna utendaji wa Shirika la Tanzania unavyofanyika ili waweze kupata njia za kuweza kuboresha Shirika zaidi Shirika la NHCC Uganda.
Mojawapo ya nyumba za NHC Mwongozo zilizotembelewa na Ujumbe wa Shirika la Nyumba la Taifa la Uganda (NHCC) ukiongozwa na Afisa Mtendaji Mkuu Parity Twinomujuni. Ujumbe huo umekuwapo katika ziara ya siku mbili ya mafunzo nchini kujifunza namna utendaji wa Shirika la Tanzania unavyofanyika ili waweze kupata njia za kuweza kuboresha Shirika zaidi Shirika la NHCC Uganda.
Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Shirika la Nyumba la Taifa la Uganda (NHCC) Balozi Agnes Kadama Kalibbala na Afisa Mtendaji Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa la Uganda (NHCC) Parity Twinomujuni wakifuatilia mawasilisho yaliyokuwa ya kifanywa na Wakurugenzi wa Shirika la Nyumba la
Taifa la Tanzania jana.
Mkurugenzi wa Ubunifu wa Shirika la Nyumkba la Taifa la Tanzania (NHC), Issack Peter akitoa mada kuhusu utendaji wa Shirika hilo kwa Ujumbe wa Shirika la Nyumba la Taifa la Uganda (NHCC)  ukiongozwa na Afisa Mtendaji Mkuu Parity Twinomujuni Ujumbe huo upo nchini katika ziara ya siku mbili ya mafunzo nchini kujifunza namna utendaji wa Shirika la Tanzania unavyofanyika ili waweze kupata njia za kuweza kuboresha Shirika zaidi Shirika la NHCC Uganda.
Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Felix Maagi (Wa pili kulia) na Mkurugenzi wa Uendelezaji Miliki wa Shirika la Nyumba la Taifa, Haikamen Mlekio wakiagana na Ujumbe wa Shirika la Nyumba la Taifa la Uganda (NHCC) uliokuwa ukiongozwa na Afisa Mtendaji Mkuu Parity Twinomujuni. Ujumbe huo upo nchini katika ziara ya siku mbili ya mafunzo nchini kujifunza namna utendaji wa Shirika la Tanzania unavyofanyika ili waweze kupata njia za kuweza kuboresha Shirika zaidi Shirika la NHCC Uganda.
  Afisa Mtendaji Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa la Uganda (NHCC) Parity Twinomujuni akiwa katika ziara ya mradi wa Mwongozo, Kigamboni Dar es Salaam.
 Mojawapo ya nyumba za NHC Mwongozo zilizotembelewa na Ujumbe wa Shirika la Nyumba la Taifa la Uganda (NHCC) ukiongozwa na Afisa Mtendaji Mkuu Parity Twinomujuni. Ujumbe huo umekuwapo katika ziara ya siku mbili ya mafunzo nchini kujifunza namna utendaji wa Shirika la Tanzania unavyofanyika ili waweze kupata njia za kuweza kuboresha Shirika zaidi Shirika la NHCC Uganda.
 Mkurugenzi wa Uendelezaji Miliki wa Shirika la Nyumba la Taifa, Haikamen Mlekio  akimzungumza jambo na Afisa Mtendaji Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa la Uganda (NHCC) Parity Twinomujuni walipofanya ziara ya mradi wa Mwongozo.
 Mkurugenzi wa Uendelezaji Miliki wa Shirika la Nyumba la Taifa, Haikamen Mlekio  akimzungumza jambo na Afisa Mtendaji Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa la Uganda (NHCC) Parity Twinomujuni walipofanya ziara ya mradi wa Mwongozo.
 Mkurugenzi wa Uendelezaji Miliki wa Shirika la Nyumba la Taifa, Haikamen Mlekio  akimzungumza jambo na Afisa Mtendaji Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa la Uganda (NHCC) Parity Twinomujuni walipofanya ziara ya mradi wa nyumba za gharama nafuu Kibada.
  Mkurugenzi wa Uendelezaji Miliki wa Shirika la Nyumba la Taifa, Haikamen Mlekio  akimzungumza jambo na Afisa Mtendaji Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa la Uganda (NHCC) Parity Twinomujuni walipofanya ziara ya mradi wa nyumba za gharama nafuu Kibada
 mojawapo ya nyumba za gharama nafuu NHC Kibada Kigamboni Dar es Salaam.
 Mkurugenzi wa Uendelezaji Miliki wa Shirika la Nyumba la Taifa, Haikamen Mlekio  akimzungumza jambo na Afisa Mtendaji Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa la Uganda (NHCC) Parity Twinomujuni walipofanya ziara ya mradi wa nyumba za gharama nafuu Kibada.
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments :

Post a Comment