Kamati
 ya Bunge ya Kudumu ya Maendeleo ya Jamii mapema  Machi 29. 2016 
imetembelea  Makao makuu ya Bohari Kuu ya Dawa (MSD)  kwa ajili ya 
kujionea mambo mbalimbali ya kiutendaji na namna bohari hiyo inavyofanya
 kazi katika kusambaza dawa zake hapa nchini.
Kamati
 hiyo inaongozwa na Mh. Peter Serukamba (Mbunge) pamoja na wajumbe 
mbalimbali wa kamati, wamepata kutembezwa katika maghala ya dawa yaliyo 
kwenye bohari hiyo na kujionea hali halisi ikiwemo juhudi za Bohari hiyo
 inavyopata dawa zake kutoka vyanzo tofauti tofauti pamoja na usambazaji
 wake.
 Mwenyekiti
 wa Kamati ya Bunge ya Kudumu ya Maendeleo ya Jamii, Mh. Peter Serukamba
  (wa kwanza kushoto) akifuatiwa na Mh. Suzan Lyimo (Mbunge wa Chadema).
 Wengine ni Maofisa wa MSD, Kaimu Mkurugenzi wa Ugavi wa MSD, Bi. Mary 
Ringo  pamoja na Kaimu Mkurugenzi wa Manunuzi wa MSD, Bw. Fredrick 
Nicolaus (kulia).
Mwenyekiti
 wa Kamati ya Bunge ya Kudumu ya Maendeleo ya Jamii, Mh. Peter Serukamba
  (wa kwanza kushoto) akifuatiwa na Mh. Suzan Lyimo (Mbunge wa Chadema).
 Wengine ni Maofisa wa MSD, Kaimu Mkurugenzi wa Ugavi wa MSD, Bi. Mary 
Ringo  pamoja na Kaimu Mkurugenzi wa Manunuzi wa MSD, Bw. Fredrick 
Nicolaus (kulia). 
  Kaimu
 Mkurugenzi wa Ugavi wa MSD, Bi. Mary Ringo akitoa maelezo kwa Kamati ya
 Bunge ya Maendeleo ya Jamii waliotembelea katika Bohari hiyo.
Kaimu
 Mkurugenzi wa Ugavi wa MSD, Bi. Mary Ringo akitoa maelezo kwa Kamati ya
 Bunge ya Maendeleo ya Jamii waliotembelea katika Bohari hiyo. 
  Mwenyekiti
 wa Kamati ya Bunge ya Kudumu ya Maendeleo ya Jamii, Mh. Peter Serukamba
  (wa kwanza kushoto) akifuatiwa na Mh. Suzan Lyimo (Mbunge wa Chadema).
 Wengine ni Maofisa wa MSD, Kaimu Mkurugenzi wa Ugavi wa MSD, Bi. Mary 
Ringo wakitembelea katika maghala hayo ya MSD.
Mwenyekiti
 wa Kamati ya Bunge ya Kudumu ya Maendeleo ya Jamii, Mh. Peter Serukamba
  (wa kwanza kushoto) akifuatiwa na Mh. Suzan Lyimo (Mbunge wa Chadema).
 Wengine ni Maofisa wa MSD, Kaimu Mkurugenzi wa Ugavi wa MSD, Bi. Mary 
Ringo wakitembelea katika maghala hayo ya MSD. 
  Kamati hiyo ya kudumu ya Maendeleo ya Jamii ikitoka katika sehemu ya kuhifadhia dawa maalum  ya hali ya ubaridi.
Kamati hiyo ya kudumu ya Maendeleo ya Jamii ikitoka katika sehemu ya kuhifadhia dawa maalum  ya hali ya ubaridi. 
  eneo la maghala ya MSD upande wa dawa maalum za miradi Msonge kama zinavyoonekana
eneo la maghala ya MSD upande wa dawa maalum za miradi Msonge kama zinavyoonekana 
  Wabunge wakitoka katika ghala maalum la kuhifadhia dawa maalum za Msonge…
Wabunge wakitoka katika ghala maalum la kuhifadhia dawa maalum za Msonge… 
  Mh.
 Jacqueline Ngonyani (Mbunge)  akitoka kuangalia moja ya mafriza 
yanayohifadhia dawa maalum za matumizi ya kila siku wakati wa Wajumbe wa
 Kamati ya  Kudumu ya Bunge ya Maendeleo ya Jamii.
Mh.
 Jacqueline Ngonyani (Mbunge)  akitoka kuangalia moja ya mafriza 
yanayohifadhia dawa maalum za matumizi ya kila siku wakati wa Wajumbe wa
 Kamati ya  Kudumu ya Bunge ya Maendeleo ya Jamii. Kaimu
 Mkurugenzi wa Ugavi wa MSD, Bi. Mary Ringo akiwaonesha Waheshimiwa 
Wabunge wa Kamati ya Maendeleo ya Jamii ya Bunge namna madawa 
yaliyokwisha muda wake yanapohifadhiwa.
 Kaimu
 Mkurugenzi wa Ugavi wa MSD, Bi. Mary Ringo akiwaonesha Waheshimiwa 
Wabunge wa Kamati ya Maendeleo ya Jamii ya Bunge namna madawa 
yaliyokwisha muda wake yanapohifadhiwa. 
Baadhi ya madawa ambayo yamekwisha muda wake kama yanavyoonekana ndani ya maghala ya MSD
  Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dkt. Hamisi Kigwangalla
 akitoa ufafanui wa namna ya madawa hayo yanavyohifadhiwa katika maghala
 hayo. kushoto ni Mbunge wa Viti Maalum, Mh. Jacqueline Ngonyani  na 
kulia ni Mwenyekiti wa Kamati ha Maendeleo ya Jamii, Mh. Surukamba.
Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dkt. Hamisi Kigwangalla
 akitoa ufafanui wa namna ya madawa hayo yanavyohifadhiwa katika maghala
 hayo. kushoto ni Mbunge wa Viti Maalum, Mh. Jacqueline Ngonyani  na 
kulia ni Mwenyekiti wa Kamati ha Maendeleo ya Jamii, Mh. Surukamba.  Naibu
 Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dkt. 
Hamisi Kigwangalla akiwaonyeshea wabunge namna dawa hizo 
zinavyohifadhiwa katika mafriji maalum
Naibu
 Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dkt. 
Hamisi Kigwangalla akiwaonyeshea wabunge namna dawa hizo 
zinavyohifadhiwa katika mafriji maalum 
  Mbunge
 wa Viti Maalum, Mh. Jacqueline Ngonyani akiuliza swali namna dawa 
ambazo hazipewi kipaumbele kufikishwa katika vituo vya Afya.
Mbunge
 wa Viti Maalum, Mh. Jacqueline Ngonyani akiuliza swali namna dawa 
ambazo hazipewi kipaumbele kufikishwa katika vituo vya Afya. 
 Mwenyekiti
 wa Kamati ya Maendeleo ya Jamii, Mh. Peter Serukamba (kushoto) 
akijadiliana jambo na Mwenyekiti wa Kamati hiyo, Mh. Hazzan Zungu.
Mwenyekiti
 wa Kamati ya Maendeleo ya Jamii, Mh. Peter Serukamba (kushoto) 
akijadiliana jambo na Mwenyekiti wa Kamati hiyo, Mh. Hazzan Zungu. 
 Kamati hiyo ikielekea katika maghala ya kuhifadhia dawa ndani ya MSD.
Kamati hiyo ikielekea katika maghala ya kuhifadhia dawa ndani ya MSD. Mkurugenzi
 Mkuu wa Bohari ya Dawa (MSD) Bwana Laurean Bwanakunu (katikati) 
akijadiliana jambo na Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, 
Wazee na Watoto, Dkt. Hamisi Kigwangalla walipotembelea katika maghala 
hayo.
Mkurugenzi
 Mkuu wa Bohari ya Dawa (MSD) Bwana Laurean Bwanakunu (katikati) 
akijadiliana jambo na Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, 
Wazee na Watoto, Dkt. Hamisi Kigwangalla walipotembelea katika maghala 
hayo. 
  Kaimu
 Mkurugenzi wa Manunuzi wa MSD, Bw. Fredrick Nicolaus akiwaongoza Kamati
 ya Maendeleo yaa Jamii kwenye maghala ya MSD wakati walipotembelea 
bohari hiyo.
Kaimu
 Mkurugenzi wa Manunuzi wa MSD, Bw. Fredrick Nicolaus akiwaongoza Kamati
 ya Maendeleo yaa Jamii kwenye maghala ya MSD wakati walipotembelea 
bohari hiyo. 
  Baadhi
 ya maafisa wa Wizara ya Afya na Bunge wakiwa kwenye msafara huo wa 
Kamati ya Bunge ya Maendeleo ya Jamii walipotembelea MSD.
Baadhi
 ya maafisa wa Wizara ya Afya na Bunge wakiwa kwenye msafara huo wa 
Kamati ya Bunge ya Maendeleo ya Jamii walipotembelea MSD. 
 
 Naibu
 Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dkt. 
Hamisi Kigwangalla akitoa maelezo namna ya maghala hayo yanavyohifadhi 
dawa na namna ya kusambaza katika Hospitali za hapa nchini.
Naibu
 Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dkt. 
Hamisi Kigwangalla akitoa maelezo namna ya maghala hayo yanavyohifadhi 
dawa na namna ya kusambaza katika Hospitali za hapa nchini. 
                            This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
                          
 
 
 
0 comments :
Post a Comment