Mzee wa Mkanyageni akihuduma wateja wake madafu


BIASHARA ya madafu imekuwa maarufu visiwani, ingawa aina ya minazi inayoangushwa madafu sio ile maalumu jambo ambalo limetajwa kuchangia kwa kiasi kikubwa kupanda kwa bei ya nazi ingawa pia sababu nyengine ni kukatwa, pichani mzee wa Mkanyageni akiwahudumia wateja wake , (Picha na Haji Nassor, Pemba).
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments :

Post a Comment