TAzama Video: Alichokifanya Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta kwa mashujaa wa mpira wa Raga




Kumbe  Rais wa Kenya anajua kucheza mpira wa raga?.. Ndiyo swali unaloweza kujiuliza pindi utakapoona kipande hichi cha video ambapo Rais Uhuru Kenyatta akijaribu kuufikia mpira wa raga alipoikaribisha timu ya taifa ya Shujaa 7s katika Ikulu ya Nairobi
Kenya yashinda taji la dunia la raga la Sevens series. Kenya imeandikisha historia katika mchezo wa raga kwa wachezaji saba kila upande baada ya kunyakua taji la dunia la Singapore ruby Sevens series.
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments :

Post a Comment