WAZIRI WA AFYA WA ZANZIBAR AKUTANA NA WAANDISHI WA HABARI.


02 
Waziri wa Afya Mahmoud Thabit Kombo akitoa hotuba kwa Waandishi wa Habari hawapo pichani kuhusiana na Maadhimisho ya Siku ya Malaria Duniani ambayo yatafanyika tarehe 24/04/2016 Zanzibar.Mwengine  ni Naibu Waziri wa Afya Harusi Idi.
03 
Waziri wa Afya Mahmoud Thabit Kombo akitoa ufafanuzi wa maswala mbalimbali yalioulizwa katika mkutano wake na Waandishi wa Habari akielezea kuhusu Maadhimisho ya Siku ya Malaria Duniani yatakayofanyika Tarehe 24/04/2016 Zanzibar.
01 
Baadhi ya Waandishi wa Habari waliohudhuria katika Mkutano wa Waziri wa Afya Mahmoud Thabit Kombo akizungumzia kuhusu Maadhimisho ya Siku ya Malaria Duniani yatakayofanyika Tarehe 24/04/2016 Zanzibar.
PICHA NA YUSSUF SIMAI-MAELEZO ZANZIBAR.
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments :

Post a Comment