Abdulrahaman Kinana, Katibu Mkuu wa CCM
RAIS John Magufuli
aliondoka Ikulu jijini Dar es Salaam hadi ofisi ndogo za Chama Cha
Mapinduzi (CCM), Lumumba bila kujulisha viongozi wake wakuu wa chama
hicho, anaandika Josephat Isango.
Taarifa ndani ya chama hicho zinasema, Katibu
Mkuu Abdulrahman Kinana, alimegewa ‘siri’ ya ujuo wa Magufuli kwenye
ofisi hizo na mmoja wa wasaidizi wa rais.
Wengine ambao hawakuwa na taarifa ya ujuo huo, ni ….
Soma habari hii kwenye gazeti la MwanaHALISI la leo
This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
0 comments :
Post a Comment