Simba yazidi kupaa kileleni katika msimamo wa VPL, yaifumua Kagera Sugar 2-0


Mchezo wa VPL kati ya Simba iliyokuwa mwenyeji wa Kagera Sugar umemalizika kwa Simba kuibuka na ushindi wa goli mbili kwa bila.
Magoli ya Simba yamefungwa na beki Mzarimu Yassin akiunganisha mpira wa kona uliopigwa na Shiza Kichuya katika dakika ya 44 na goli la pili likifungwa na Shiza Kichuya kwa mkwaju wa penati katika dakika ya 75.
Ushindi huo unaiwezesha Simba kufikisha alama 23 katika michezo tisa iliyocheza, ikishinda michezo saba na kutoa sare miwili na ikiwa na mchezo mmoja mkononi, Kagera Sugar inasalia kuwa na alama 15 ikiwa katika nafasi ya tatu ya msimamo wa VPL.
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments :

Post a Comment