Arsene Wenger Afunguka Haya Kwa Wanaotaka Aachane Arsenal Baada Ya Kichapo cha 5-0


Kipigo cha goli 5-1 walichofungwa timu ya Arsenal katika uwanja wa Alianz Arena Ujerumani dhidi ya wenyeji wao FC Bayern Munich katika mchezo wa hatua ya 16 bora ya Ligi ya Mabingwa Ulaya, kimefanya mashabiki waendelee kumzonga kocha Arsene Wenger na wengine wakitaka aondoke.
Bado haijajulikana kama kocha huyo ataendelea na Arsenal au kuachana nayo baada ya maneno hayo kuzidi, lakini habari zisizo rasmi kupitia mitandao mbalimbali ya soka iliripoti kuwa kocha huyo ameongezewa mkataba mpya wa miaka miwili.

Maneno yamekuwa mengi zaidi baada ya kipigo cha 5-1 walichokipata usiku wa February 15, hususani ulinganisha na hasira zao ambazo zimeongezeka baada ya kushindwa kutwa taji la Ligi Kuu England kwa zaidi ya miaka 10 sasa ambapo mara ya mwisho ilikuwa 2003/2004, leo Wenger amenukuliwa na mitandao kadhaa akitoa kauli hizi.

 "Hata kama nikiondoka sio kama watashinda kila mechi" >>> Arsene Wenger
 "Nitaendelea kufundisha soka msimu ujao iwe Arsenal au sehemu nyingine yoyote" >>> Arsene Wenger
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments :

Post a Comment