VideoFUPI: Yusuph Manji alivyofikishwa mahakamani Kisutu DSM



Mfanyabiashara maarufu wa Tanzania ambaye pia ni Mwenyekiti wa Club ya soka ya Yanga Yusuph Manji ni miongoni mwa Watu 65 waliotajwa na mkuu wa mkoa wa Dar es salaam Paul Makonda kwenye orodha ya sakata la dawa za kulevya.
Leo February 16 2016 Yusuph Manji amefikishwa mahakamani muda huu kwa tuhuma za kuhusishwa na matumizi ya dawa za kulevya.
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments :

Post a Comment