Polisi kanda maalum Dar es salaam
imemkamata kijana ambaye alisambaza taarifa za uongo kuhusu Watu
wanaotuhumiwa kuhusika na uuzwaji, usambazaji na utumiaji wa dawa za
kulevya Tanzania ambapo ndani ya hiyo orodha yake alimtaja pia Kiongozi
wa kanisa katoliki.
This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
0 comments :
Post a Comment