Jeri Muro Afunguka Mazito Baada Ya Plujim Kusaini Mkataba Singida United



Aliyekuwa afisa habari wa Yanga Jerry Muro ameibuka na ku-post ujumbe kwenye ukurasa wake wa Instagram saa chache baada ya Hans van Pluijm kutangazwa kuwa kocha mkuu wa Singida United.
Ujumbe alioandika Muro Unasomeka: “Babu Hans pumzika hapo kwa muda, wapiga dili wanaomdanganya muhindi wakishaondoka kule, tutarejea tu hata kwa mlango wa uani.”
Plujm na Muro walifanya kazi pamoja ndani ya Yanga kabla ya Muro kufungiwa na TFF na wakati Pluijm hajaondolewa katika nafasi ya ukocha mkuu.
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments :

Post a Comment