Breaking News:Lawrance Masha Ajitoa Kugombea Uraii

Wakati kesho kukitarajiwa kufanyika uchaguzi wa Rais wa chama cha wanasheria wa Tanganyika, leo March 17 2017 wanasheria hao wamekuatana Arusha kwenye mkutano mkuu wa chama cha wanasheria hao.

Moja ya yaliyojitokeza ni pamoja na aliyekuwa mgombea wa Urais wa TLS, MwanasheriaLawrance Masha kutangaza kujiondoa kuwania Urais huo, amesema anamuunga mkono Tundu Lissu na kura zake apigiwe Tundu Lissu.
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments :

Post a Comment