
Mbunge wa Mtama ambaye pia alishawahi kuwa Waziri wa Habari, utamaduni, sanaa na michezo Nape Nnauye ameliambia Bunge kuwa katika ilani ya CCM wakati wa uchaguzi waliwaahidi wananchi kuwa watatatua changamoto za maji lakini hadi sasa bado hatua stahiki hazijachukuliwa hivyo endapo tatizo halitoangaliwa na kutatuliwa CCM ijue wananchi hawatairudisha tena madarakani.
Full video ya mchango wa Nape Nnauye nimekuwekea hapa chini tayari…
About Unknown
This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
0 comments :
Post a Comment